The portal Vatican News uses technical or similar cookies to make navigation easier and guarantee the use of the services. Furthermore, technical and analysis cookies from third parties may be used. If you want to know more click here. By closing this banner you consent to the use of cookies.
Papa Leo XIV aliwatumia Maaskofu ujumbe mfupi akiwaalika kupakua na kupachika Wijeti(Widget)mpya ya video ya Vatican News kwenye kurasa za tovuti za Kikatoliki ili kupata habari ...
Yohane Mbatizaji ni Nabii aliyefunga Agano la Kale, akawa daraja ya Agano Jipya, aliyemwandalia njia na hatimaye, wakati ulipowadia akamtambulisha Yesu kuwa ni Masiha, Mwanakondoo ...
Mitandao ya uhalifu mara nyingi hutumia majukwaa ya mtandaoni na njia zisizojulikana kuajiri,kudhibiti na kusafirisha waathiriwa wao,ambao mara nyingi ni watoto wadogo.Haya ...
Padre Youhanna Al-Amin,wa Parokia ya Mtakatifu Vincent huko Kauda aliuawa Ijumaa,Juni 19,pamoja na watu wengine wawili katika Milima ya Nuba.Habari hiyo iliripotiwa na Shirika la ...
Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa Jumatatu tarehe 22 Juni mjini Roma Italia na shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO,)limetaka uwekezaji wa hatua za mapema wa ...